Ninang'atuka 2014

· Xlibris Corporation
5,0
1 recenzija
E-knjiga
89
Stranica
Ocene i recenzije nisu verifikovane  Saznajte više

O ovoj e-knjizi

Ni kitabu chanye hazina ya mashairi yaliyotungwa na mtunzi aliyebobea katika fani ya utunzi wa nyimbo, tenzi na mashairi. Mtunzi wa kitabu ametunga tungo za kitabu hiki akifuata na kulinda maadili ya lugha ya Kiswahili kwa malengo ya kuelimisha, kuburudisha na kufundisha jamii zote. Usomapo kitabu hiki utapata uhondo kamili wa lugha ya Kiswahili kwani mtunzi wa kitabu ametumia maneno ya Kiswahili sanifu, Kiswahili cha mitaani na maneno aliyoyatohoa kutoka lugha mbali mbali ambayo hutumiwa kwa wingi mitaani. Katika kurasa za mwisho za kitabu hiki, mtunzi ameweka kamusi ya Kiswahili cha mitaani ili wale wasioelewa Kiswahili cha mitaani waweze kupata burudani kamili wanaposoma ama wanapoimba mashairi yake.

Ocene i recenzije

5,0
1 recenzija

Ocenite ovu e-knjigu

Javite nam svoje mišljenje.

Informacije o čitanju

Pametni telefoni i tableti
Instalirajte aplikaciju Google Play knjige za Android i iPad/iPhone. Automatski se sinhronizuje sa nalogom i omogućava vam da čitate onlajn i oflajn gde god da se nalazite.
Laptopovi i računari
Možete da slušate audio-knjige kupljene na Google Play-u pomoću veb-pregledača na računaru.
E-čitači i drugi uređaji
Da biste čitali na uređajima koje koriste e-mastilo, kao što su Kobo e-čitači, treba da preuzmete fajl i prenesete ga na uređaj. Pratite detaljna uputstva iz centra za pomoć da biste preneli fajlove u podržane e-čitače.