Tenzi za Rohoni ni programu inayojumuisha mkusanyiko wa nyimbo 161 kutoka katika kitabu cha Tenzi Za Rohoni kwa lugha ya Kiswahili ។
Programu hii imeandaliwa kukuwezesha kumwamudu Mungu kwa njia ya uimbaji mahali popote na muda wowote ។
កម្មវិធី Sifa za ni kama zifuatazo:-
• Inahusisha eneo la utafutaji ambapo unaweza kutafuta wimbo kwa namba au kwa
neno unalokumbuka liwe jina la wimbo kwa Kiswahili, kwa kiingereza au maneno
យ៉ាលីយ៉ូ និង វីមបូ។
• Inakuwezesha kuweka nyimbo unzozipenda katika orodha tofauti na hivyo kuupata
kwa urahisi wakati mwingine, pia unaweza kuuondoa pale unapoona inafaa ។
• Inakuwezesha kufuatilia wimbo kwa njia ya ala za sauti (សូមអរគុណចំពោះ hymnserve.com សម្រាប់
អម) ។
• Inakuwezesha kucheza ala hata ukiwa haupo kwenye programu
• Inakuwezesha kuona wimbo unaocheza ala ukiwa kwenye nyimbo zingine ។
• Inakuwezesha kuona wimbo uliofungua mara ya mwisho kwa kuuangaza ។
• Inakuwezesha kukuza ukubwa wa maandishi wa maneno ya wimbo kadri unavyoona
អ៊ីណាហ្វា។
• Inakuwezesha kushiriki maneno ya wimbo na ndugu jamaa na marafiki kwa urahisi ។
• Inakuwezesha kubadili muonekano wa programu unaofaa katika mazingira ya
Mwanga au Giza ili kuwezesha uono usioumiza macho ។
បានដំឡើងកំណែនៅ
18 កុម្ភៈ 2025