Tenzi za Rohoni ni programu inayojumuisha mkusanyiko wa nyimbo 161 kutoka katika kitabu cha Tenzi Za Rohoni kwa lugha ya Kiswahili.
Programu hii imeandaliwa kukuwezesha kumwamudu Mungu kwa njia ya uimbaji mahali popote na muda wowote.
سیفا زا برنامه نی کما زیفوتازو:-
• Inahusisha eneo la utafutaji ambapo unaweza kutafuta wimbo kwa namba au kwa
ننو اونالوکومبوکا لیوه جینا لا ویمبو کوا کیسواحیلی
یالیو ندانی یا ویمبو.
• Inakuwezesha kuweka nyimbo unazozipenda katika orodha tofauti na hivyo kuupata
kwa urahisi wakati mwingine, pia unaweza kuuondoa pale unapoona inafaa.
• Inakuwezesha kufuatilia wimbo kwa njia ya ala za sauti (با تشکر از hymnserve.com برای
همراهی ها).
• Inakuwezesha kucheza ala hata ukiwa haupo kwenye programu
• Inakuwezesha kuona wimbo unaocheza ala ukiwa kwenye nyimbo zingine.
• Inakuwezesha kuona wimbo uliofungua mara ya mwisho kwa kuuangaza.
• ایناکووزشا کوکوزا اوکوبوا و مندیشی و ماننو یا ویمبو کادری اوناویونا
انفاا
• ایناکووزشا کوشیریکی ماننو یا ویمبو نا ندوگو جاما نا مارافیکی کوا اورهیسی.
• Inakuwezesha kubadili muonekano wa programu unaofaa katika mazingira ya
Mwanga au Giza ili kuwezesha uono usioumiza macho.
تاریخ بهروزرسانی
۳۰ بهمن ۱۴۰۳